Sisi Hatusemi kuwa Habari ya Upokezi wa Mmoja Mmoja (Khabar Ahaad) Ikataliwe, Bali Tunasema Yalazimu Kufanyiwa Kazi
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Je, munamjua muulizaji ni nani? Wakasema Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua zaidi. Akasema: Huyu ni Jibril amekuja kukufunzeni Dini yenu. Hii ni khabar ahaad katika Aqida, basi ni kwa nini tunaikataa?