Hizb ut Tahrir / Wilayah Jordan: “Lakini wakiomba msaada kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia.”
- Imepeperushwa katika Jordan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hii ni hotuba kutoka kwa Mwenyezi Mungu (swt) kwa Waislamu kuhusiana na faradhi ya Shariah ya kuwanusuru Waislamu walio chini ya mamlaka ya dola za kikafiri na makafiri ambao hawajahamia kwenye Nyumba ya Uislamu (Dar ul Islam), iwe kwa kuwazuia utekelezaji wa ibada zao za kidini au kwa kuwadhulumu.