FSB ya Urusi Yawakamata na Kuwauwa Wahamiaji kutoka Asia ya Kati
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo 27 Julai FSB ya Urusi ilitangaza kummaliza yule anayeitwa "gaidi" katika jiji la Khimki karibu na Moscow. Kwa mujibu wa Huduma Maalum, Mtajik Odil Kayumov mwenye umri wa miaka 19 alidaiwa kupanga shambulizi la kigaidi katika sehemu zilizo na umati mkubwa.