Vichwa vya Habari 21/10/2020
- Imepeperushwa katika Vichwa vya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Jeshi la Uturuki limeanza kujiondoa kutoka kwa kituo cha uchunguzi cha Morek mjini Idlib, Syria.Walikianzisha kituo hicho mnamo 2018 na wamekiimarisha, ikiondoa dhana kwamba kamwe halitaachana nacho.



