Jumamosi, 07 Rajab 1447 | 2025/12/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mkutano wa Mfalme na Biden ni Kujitolea kwa Kuendeleza Utawala wa Kikoloni wa Amerika wa Jordan kwa Badali ya Kutafuta Uthabiti Uliopo wa Utawala kupitia Uzi wa Usimamizi

Taarifa ya Ikulu ya White House ilisema mnamo Ijumaa, Mei 13, 2022, “Rais [Biden] anafuraha kumkaribisha Mtukufu Mfalme Abdullah II wa Jordan na Mwanamfalme wake Mtarajiwa Hussein kwenye Ikulu ya White House Mei 13, 2022.

Soma zaidi...

Kufungwa kwa Shule Huru za Waislamu Kunalenga Kitambulisho cha Waislamu

Mnamo Alhamisi, Dagens Nyheter, Göteborgsposten na Aftonbladet waliripoti kwamba Mamlaka ya Ukaguzi wa Shule ya Uswidi inabatilisha vibali vya shule mbili za kibinafsi za Waislamu kufuatia tahadhari kutoka kwa Huduma ya Usalama ya Uswidi kwamba wanafunzi wako katika hatari ya kupewa itikadi ya mfumo wa Kiislamu.

Soma zaidi...

Ondoeni Demokrasia na Msimamishe Khilafah kwa ajili ya Mabadiliko ya Kweli, kwa Kutabikisha Yale Yote Aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu (swt)

Shina la matatizo yetu sio ni nani anayetutawala, bali ni kipi anachotutawala nacho. Maadamu Pakistan inatawaliwa na sheria zilizotungwa na mwanadamu chini ya Demokrasia, badala ya Shariah iliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu (swt) chini ya Khilafah, kamwe hatutaona mabadiliko ya kweli.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu