Waziri Mkuu Afungua Bunge na Shambulizi Jipya kwa Familia za Kiislamu!
- Imepeperushwa katika Denmark
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika vipindi vya kawaida na vilivyopangwa vizuri, serikali ya Denmark yawasilisha mipango ya sera inayolenga kuwashawishi Waislamu na vilevile kugeuza umakini kutoka kwa maswala muhimu ya jamii.



