Wahamiaji Nchini Ugiriki Wamefichua Uhalisia Uliooza wa Utaifa
- Imepeperushwa katika Uingereza
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mipaka ya kizalendo ambayo inapigiwa debe na kulindwa na serikali za kirasilimali inapelekea mateso makubwa sana kwa watu.
Mipaka ya kizalendo ambayo inapigiwa debe na kulindwa na serikali za kirasilimali inapelekea mateso makubwa sana kwa watu.
Zaidi ya raia 20 waliuawa Jumanne iliyopita katika mashambulizi yaliyotekelezwa na vikosi vya kijeshi vya Syria kwa kuwalenga raia ikijumuisha shule. Shirika la Ufuatilizi wa Haki za Kibinadamu liliripoti kwamba takribani watoto tisa na walimu watatu waliuawa katika kuzidi kwa mashambulizi katika mkoa wa Idlib kaskazinimagharibi mwa nchi.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh, leo Ijumaa, 28 Februari 2020, Imefanikiwa Kuandaa Kongamano la Mtandaoni kwa kichwa: “Kielelezo cha Katiba ya Dola ya Khilafah”.
Abu Adnan - tunamchukulia yeye na Mwenyezi Mungu ni mjuzi zaidi - kwamba alikuwa mmoja wa wafanyikazi imara katika safu za Hizb ut Tahrir kusimamisha Khilafah Rashida kwa njia ya Utume.
Waziri wa Ulinzi wa Uturuki Hulusi Akar alitangaza kuwa nchi yake itachukua hatua zote dhidi ya wale ambao hawatekelezi usitishaji mashambulizi huko Idlib, pamoja na wenye misimamo mikali, akisisitiza kuwa Ankara "itawalazimisha wao kutekeleza."
Ripoti ya Mradi wa Kuunganisha Daraja (BBI) iliyochapishwa katika gazeti rasmi la serikali mnamo 24 Mei 2018 na ikawekwa hadharani kwa umma mnamo Novemba mwaka jana ili kujadiliwa na umma,
Mnamo 10 Februari 2020, Mahakama Kuu ya Kijeshi ya Wilaya ya Yekaterinburg ili muhukumu Eduard Nizamov, kwa kosa la kuandaa amali za Hizb ut Tahrir nchini Urusi, hadi miaka 23 ya kifungo katika ulinzi wa hali ya juu wa adhabu.
Aliyekuwa Raisi wa Kenya Daniel Arap Moi alifariki mnamo 4 Februari 2020 akiwa na umri wa miaka 95. Moi alikuwa ni Raisi wa pili na aliye tawala kwa muda mrefu wa miaka 24 hadi kustaafu kwake mnamo 2002.
Mahakama ya Upeo imetupilia mbali ombi la kuitathmini kesi ya Hijab iliyo sajiliwa ili kubatilisha agizo kutoka Shule ya St Paul Kiwanjani la kupiwapiga marufuku wanafunzi Waislamu kutokana na kuvaa Hijab.
Ni muhimu kutambua kuwa matendo haya ya kukandamiza sio maalumu kwa kikundi cha HTS (Hay'at Tahrir al-Sham, “Shirika la Ukombozi wa Al-Sham”), lakini badala yake ni vitendo jumla vya vikundi vingi vinahusiana na ujasusi wa dola; kwa idadi tofauti ya ukandamizaji na uhalifu.