Maafa ya Bwawa la An-Nahdha juu ya Sudan na Misri Yanatekelezwa kwa Ushirikiano wa Watawala Wao na ni Khilafah Rashida Pekee Ndio Inayoweza Kuyaondoa
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo siku ya Jumanne, 07/06/2021, Ethiopia iliiarifu Sudan juu ya kutekeleza ujazo wa pili wa ziwa la Bwawa la An-Nahdha, kwa kiasi cha mita za ujazo bilioni 13.5 za maji, ambayo inasababisha uharibifu wa huduma muhimu za Khartoum na maisha ya wakaazi milioni 20, kwa mujibu wa taarifa rasmi.