Wanatumia Pesa zao kwa ajili ya Kuunda Vibaraka, Watazitumia kisha itakuwa ni Huzuni kwao, Mwenyezi Mungu Akipenda
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ujumbe wa Umoja wa Ulaya jijini Khartoum ulitangaza utoaji wa kitita cha euro milioni 15, ambapo euro milioni 5 zitatengwa kusaidia na kuimarisha utawala wa sheria kupitia upatikanaji wa haki.



