Mitandao ya Kijamii Imefichua Kufeli kwa Nidhamu ya Kisekula ya Kidemokrasia na Wafuasi Wake!
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed alizima mitandao mnamo Jumatano, 4 Novemba 2020 wakati alipozindua mashambulizi katika eneo la kaskazini la Tigray.