Mgogoro wa Mafuta ya Kula Nchini Tanzania
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tanzania imeendelea kuwa na upungufu wa mafuta ya kula hali inayopelekea kupanda kwa bei ya bidhaa hiyo, kufanya maisha kuwa magumu, ikiathiri maisha ya wengi katika wananchi wa kawaida na kupandisha bei za vyakula, kwani biashara ya vyakula hutegemea mafuta ya kula.