Unyang'anyi wa Kombe la Dunia ni Dhihirisho la Mfumo wa Kibepari!
- Imepeperushwa katika Uholanzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kombe la Dunia la 2022 linakaribia kuanza na kwa muda sasa vyombo kadhaa vya habari vya Magharibi vimeikashifu Qatar na FIFA kwa sababu nchi hiyo haiheshimu haki za binadamu.



