Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Mkao wa Kadhia za Ummah
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Sisi katika Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan tunafurahi kutoa mwaliko kwa ndugu katika vyombo vya habari, wanasiasa, na wasomi kuhudhuria na kushiriki katika Mkao wa Kadhia za Ummah wa kila mwezi, ambao unashughulikia masuala ya kisasa



