MIAKA 60 YA UHURU BADO UMEME NA MAJI YA MGAO
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tarehe 9 Disemba, Tanganyika / Tanzania itaadhimisha miaka 60 ya uhuru iliyoupata kutoka kwa Uingereza 1961, baada ya awali kuwa chini ya ukoloni wa Ujerumani kabla ya nchi hiyo kushindwa katika Vita vya Kwanza.



