Ijumaa, 06 Rajab 1447 | 2025/12/26
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

China Yawalazimisha Wanawake wa Kiislamu wa Uyghur kuolewa na Makafiri ili Kuufuta Uislamu kutoka Turkestan Mashariki

Mnamo tarehe 16 Novemba 2022, gazeti la Telegraph iliripoti juu ya dhurufu za ndoa ya kulazimishwa ambayo inawasibu wanawake wa Kiislamu huko Turkestan Mashariki. Makala hayo yana kichwa "Wachina walipwa kuwaoa Waislamu katika mpango wa kuwaangamiza Wauyghur".

Soma zaidi...

Hotuba ya Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan katika Mkutano wa Waandishi wa Habari Uliofanywa na Hizb katika Taasisi ya Taiba ya Vyombo vya Habari yenye kichwa: “Uwasilishaji wa Rasimu ya Katiba inayosuluhisha Migogoro, yenye Kuleta Makundi yote pamo

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu. Na rehma na amani zimshukie mjumbe aliyetumilizwa kama rehma kwa walimwengu, bwana wetu na kipenzi chetu Muhammad (saw), kiongozi wa Njia Iliyo Nyooka, na ahli zake watukufu na maswahaba zake, na anayefuata njia yake na akafuata nyayo zake mpaka Siku ya Kiyama.

Soma zaidi...

Takeni Kukomeshwa kwa Ushirikiano na Marekani, ili Kupata Fahari ya Majeshi Yetu, Ardhi Zetu na Dini Yetu

Uteuzi wa mkuu mpya wa jeshi kwa jeshi la Waislamu lenye nguvu zaidi duniani ulijiri wakati wa ukataji tamaa mkubwa. Tulishusha pumzi, tulipoona mwisho wa enzi chungu ya miaka sita ya Jenerali Bajwa. Kutufunga kwa ushirikiano na Marekani, Mafundisho ya Bajwa yaliharibu sifa ya wanajeshi, na kusababisha ukosefu wa utulivu na usalama juu yetu.

Soma zaidi...

Mkutano wa 5 wa Kimataifa wa Wanawake na Haki Unatumikia CEDAW

Mnamo Novemba 4-5, 2022 jijini Istanbul, “Mkutano wa 5 wa Kimataifa wa Wanawake na Haki” ulifanyika, kwa hotuba ya ufunguzi ya Rais Recep Tayyip Erdogan. Uliandaliwa na kikundi cha utetezi wa wanawake, Chama cha Wanawake na Demokrasia (KADEM) pamoja na Wizara ya Huduma za Familia na Jamii. Tamko la mwisho la mkutano huo lilisisitiza umuhimu wa familia yenye nguvu kwa jamii yenye nguvu.

Soma zaidi...

Je, sio Wakati sasa wa Kuiwajibisha Marekani na Nchi za Kimagharibi, Wachochezi wa Ugaidi?!

Mnamo Jumapili, Novemba 13, 2022, shambulizi baya la kigaidi lilifanyika Taksim, Istanbul, ambapo mlipuko uliua watu 6, wakiwemo watoto 2, na kujeruhi watu 81. Mamlaka zilitangaza kwamba shambulizi hilo la kigaidi lilitekelezwa kwa maagizo ya Chama cha Wafanyikazi wa Kurdistan/Chama cha Umoja wa Kidemokrasia/Vitengo vya Ulinzi wa Watu.

Soma zaidi...

Muamala kwa Shule za Qur'an: Kwa Mara Nyengine Tena ni Dhihirisho la Sera dhidi ya Uislamu

Serikali imekubali mpango ambao Waziri wa Elimu Dennis Wiersma anataka kuutekeleza kwa shule za Qur'an, shule za wikendi na maeneo mengine ambayo 'elimu isiyo rasmi' inatolewa. Ufafanuzi kutoka kwa Wizara wa mpango huu wa kibaguzi ambao kwao Waislamu wanatengwa ni kwamba ndani ya elimu isiyo rasmi kumekuwa na kesi zinazodaiwa za shughuli ambazo 'zinapinga na uoanishaji, zinapinga demokrasia dhidi ya utawala wa sheria.'

Soma zaidi...

Jaribio la ATU la Kuwabandika Majina Wanachama wa Hizb ut Tahrir waliokuwa Wazungumzaji wa Makongamano ya Kisiasa ya Mtandaoni kuwa ni Wanamgambo ni Kitendo cha Ugaidi na Ukandamizaji

Serikali ya Hasina ilifanya jaribio jengine lililofeli la kusitisha dawah ya Hizb ut Tahrir katika kurudisha Mfumo kamili wa Maisha wa Kiislamu kupitia kusimamisha tena Khilafah Rashida kwa kuwahangaisha na kuwakandamiza wanachama wake kupitia kikosi chake maarufu cha kigaidi kinachojulikana kama "Kitengo cha Kupambana na Ugaidi (ATU)”.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu