Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Ukombozi: “Wito wa Haraka kwa Maafisa na Wanajeshi: Nyinyi ndio wenye Uwezo zaidi wa Kulitokomeza Umbile la Kiyahudi!”
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo Ijumaa, 10 Oktoba 2025, matembezi makubwa yalifanyika katika mji mkuu, Tunis, kutoka Msikiti wa Al-Fath kufuatia swala ya Ijumaa. Matembezi hayo yaliandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Tunisia kuinusuru Palestina na Al-Aqsa iliyo mateka ambapo ulinganizi ulielekezwa kwa watu wa Tunisia watoe wito wa haraka kwa maafisa na wanajeshi chini ya kichwa, “Nyinyi ndio wenye Uwezo zaidi wa Kulitokomeza Umbile la Kiyahudi!”



