Vichwa vya Habari - 26/02/2020
- Imepeperushwa katika Vichwa vya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mfalme wa Saudi Arabia Salman mnamo Alhamisi, 20 alipokea ujumbe, kutoka Kituo cha Mazungumzo ya Dini mseto na Thaqafa mseto cha Mfalme Abdullah bin Abdulaziz (KAICIID) ulijumuisha Mzayuni rabbi, David Rosen.



