Demokrasia: Tumekomeka!
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Huu utakuwa ni uchaguzi wa bunge la kumi na mbili na kama ilivyo ada miungano ya kikabila chini ya mwavuli wa vyama vya kisiasa imebuniwa huku vigogo wa miungano hiyo wakimwaya pesa wakidanganya watu kwa kuwasihi kushiriki kwenye uchaguzi.



