Kujitolea Kwetu kwa Mwenyezi Mungu (swt) na Mtume wake (saw) Huja Kabla ya Kujitolea Kwetu kwa Familia na Kazi
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika zama zetu, kujitolea kwa maswala ya kifamilia, uzazi, masomo, taaluma, au biashara huja kabla ya kujitolea kwa majukumu yetu ya Kiislamu kwa jamii ya Kiislamu (jamaa’ah) na Dini.