Dola za Kitaifa: Ni Ngao ya Uovu
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vita vya dunia vimetengeneza maafa makubwa kwenye mfumo wa Kibepari; himaya zimevunjika na idadi ya dola za kitaifa imeongezeka kwa kasi.
Vita vya dunia vimetengeneza maafa makubwa kwenye mfumo wa Kibepari; himaya zimevunjika na idadi ya dola za kitaifa imeongezeka kwa kasi.
Muitikio wa Waislamu wa Pakistan juu ya matukio yanayouangukia Ummah duniani unafichua kuwa njia ya kufikiri ya Kiislamu inaongezeka katika ubora wake, umaarufu na ukamilifu.
Baada ya Waislamu kuihisi hali mbaya waliokuwa wakiishi, utambuzi wa baadhi yao ukaanza kupata nguvu kuelekea kwenye kubadilisha ukweli huu.
Nilikutana na Naveed Butt kwa mara ya kwanza kwenye darsa aliyokuwa akihutubia katika Bustani ya Aziz Bhatti jijini Karachi, kabla ya kuwa mwanachama wa Hizb ut Tahrir.
Hii ndio namna Mwenyezi Mungu Mtukufu amemuelezea Muumini.
Uchaguzi wa uraisi wa Amerika umeonyesha mgawanyiko mkubwa nchini Amerika na kile ambacho raisi wa Amerika Donald Trump kwa muda mrefu akicheza nacho.
Athari za ukoloni na ukoloni mamboleo kwenye mfumo wa elimu katika nchi za Waislamu zimekuwa wazi kwa Umma wa Kiislamu.
Kufanya makubaliano ya amani na umbile la Kiyahudi imekuwa ni jambo linalojadiliwa kwa muda mrefu na Ummah tokea kuanzishwa kwake.
Utafiti wa karibuni umeonyesha kuwa kuna muanguko wa dini kiulimwengu. Ikiangaliwa katika jamii za Kimagharibi, na kukua kwa uliberali wa kisekula, hili halishangazi.
Msemaji rasmi wa Wizara ya Mambo ya Nje (MOFA) wa Urusi, Maria Zakharova, alitoa maoni kwa majibu ya Muungano wa Ulaya (EU) juu ya hukumu ya kile kinachoitwa ‘Kesi ya pili ya Bakhchisaray ya Hizb ut-Tahrir’.