Ghasia Mpakani kati ya China na India
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kisiasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Shirika la habari la Reuters lilichapisha mnamo 10/06/2020: "…
Shirika la habari la Reuters lilichapisha mnamo 10/06/2020: "…
Ningependa kuuliza kuhusu tabarruj. Tunaifafanua vipi na tunaitumia vipi? Ninavyojua ni kuwa tabarruj yamaanisha kuonyesha mapambo mbele ya mwanamume wa kando kisha kumvutia kutazama hayo mapambo au hata kututazama sisi.
Karibu wiki mbili zilizo pita, Amerika ilizongwa na maandamano makubwa katika baadhi ya maeneo yaliyojaa ghasia, uporaji wa maduka, na uteketezaji vituo vya polisi. Je, mauaji ya mtu mmoja mweusi nchini Amerika yaweza kuchochea maandamano kama hayo?
Kwa wale wote waliotuma wakiniuliza kuhusu nafasi ya mita mbili baina mwenye kuswali na yule aliye baada yake wakati wa swala za Ijumaa na swala za jamaa…
Kama ilivyo mashuhuri, Al-Kadhimi alijishindia imani ya idadi kubwa ya Bunge linalo unga mkono Iran, ingawa anatuhumiwa na pande zilizo tiifu kwa Iran na watu wake nchini Iraq kushirikiana na Amerika katika mauaji ya Soleimani, na baadhi ya watu wa Iran wanamtaja kama mtu wa Amerika.
Tafadhali waweza kutoa upokezi na usahihishaji wa Hadith hii katika upande wa usahihi, nguvu, udhaifu, na kuitumia kwake kama dalili, shukran:
Salamu kutoka kwa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata bin Khalil Abu Al-Rashtah kwa Wanaozuru Mitandao yake katika Siku Kuu Hii Iliyo Barikiwa ya Idd ul-Fitr 1441 H sawia na 2020 M
Ufafanuzi kutoka kwa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah, Kuhusu Kuthubutu Kuonekana kwa Mwandamo wa Mwezi (Hilal) wa Shawwal Mwaka Huu, 1441 H, 2020 M
Nataka muongozo kutoka kwako, kwani nimechanganyikiwa, sijielewi mimi ni nani, nakuomba kwa jina la Mwenyezi Mungu nifanye nini?
Kinapo zungumzia kuhusu vitendo vinavyo tukia ndani ya mzunguko unaomtawala mwanadamu katika upande usiokuwa wa kanuni za moja kwa moja za Ulimwengu, katika ukurasa wa 94 (nakala ya Kiarabu) kinaeleza, baada ya kutaja mifano, "na hivyo basi hatutalipwa ujira wa kuadhibiwa".