- |
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- ukubwa wa font punguza ukubwa wa font zidisha ukubwa wa font
بسم الله الرحمن الرحيم
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia:
Kongamano la kila Mwaka la Khilafah “Kwa Khilafah Tunakabiliana na Udhibiti wa Marekani”

Mnamo Jumamosi 02 Mei 2026 M, Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa kongamano la kila mwaka la Khilafah katika ukumbi wa mikutano na makongamano ulio katika makutano ya Sakiet Ariana katika mji mkuu wa Tunis, lenye kichwa:
“Kufeli kwa Dola ya Kisasa na Kutoepukika kwa Dola ya Khilafah”
Kongamano hilo lilizungumzia mada kuu tatu:
1. Mwisho wa Demokrasia na Usasa na Kuanguka kwa Hadhara ya Epstein
2. Uislamu na Khilafah... Kuelekea Mfumo Mpya wa Kimataifa
3. Muungano wa Da'wah na Nusrah na Kuchomoza kwa Khilafah
Mjumbe wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Tunisia
Jumamosi, 15 Dhu al-Qi'dah 1447 H - 2 Mei 2026 M

- Ualishi na Utangaziaji wa Kongamano la kila Mwaka la Khilafah -





Alama Ishara za Kongamano la kila Mwaka
#أقيموا_الخلافة
#كيف_تقام_الخلافة
#ReturnTheKhilafah
#YenidenHilafet
#خلافت_کو_قائم_کرو
#TurudisheniKhilafah



Kwa Maelezo zaidi Tafadhali Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia
Tovuti Rasmi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia
Tovuti Rasmi ya Jarida la Tahrir
Ukurasa wa Facebook wa Jarida la Tahrir




