Pazeni Sauti kwa Ajili ya Kuachiliwa Huru kwa Muneeb ur Rehman kutokana na Utekaji Nyara. Kulingania Kwake Kuunganishwa kwa Ulimwengu wa Kiislamu Chini ya Khilafah, ni Wajib sio Uhalifu
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Muneeb Ur Rehman, mtetezi wa Khilafah, alitekwa nyara mchana kweupe mnamo Ijumaa 20 Agosti 2021, kabla ya Swala ya Ijumaa, na mashirika ya ujasusi ya Pakistan.



