Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 500
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika siku ya nane ya Dhu al-Hijjah (Siku ya Tarwiyah), Hizb ut-Tahrir / Wilayah ya Tunisia iliadhimisha Sunnah ya Takbira katika mji mkuu, Tunis, kwa kuandaa matembezi makubwa yenye kichwa “Matembezi ya Takbira kutoka Tunisia hadi Palestina.”
Mnamo tarehe 11/6/2024, Baraza la Usalama lilitoa azimio la kuunga mkono mradi wa Biden kwa ajili uvamizi wa kikatili wa Kiyahudi dhidi ya Gaza, bali Palestina yote! Maandishi ya azimio hilo, kama yalivyochapishwa na CNN, mnamo tarehe 11 Juni 2024, yalisema yafuatayo: (Baraza la Usalama “linakaribisha pendekezo jipya la kusitisha mapigano lililotangazwa mnamo Mei 31, ambalo lilikubaliwa na ‘Israel,’ na kutoa wito kwa Hamas pia kulikubali, na kuzitaka pande husika zikubali kutekeleza masharti yake kikamilifu bila kuchelewa na bila masharti.”
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Jordan Yamuomboleza:
Dkt. Muhsin Muhammad Hilal Al Khalif Al Azamat (Abu Hafs)
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Khutba ya Idd ul-Adha Al-Mubarak 1445 H – 2024 M
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Afghanistan inatoa pongezi na salamu za dhati kwa Waislamu wote duniani kote kwa mnasaba wa Idd ul-Adha. Vile vile tunamuomba Mwenyezi Mungu (swt) azikubali swala, ibada, mapambano na mihanga ya Waislamu wote kwa Rehema zake na aikubalie Hijja yao.
Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Idd ul-Adha Al-Mubarak 1445 H.
Pongezi kutoka kote ulimwengu kutoka kwa kundi la wabebaji da’wah miongoni mwa mashababu wa Hizb ut Tahrir kwa mnasaba wa Idd Al-Adha 1445 H.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa matembezi ya Takbira, Tahlil na Tahmid 1445 H katika mji wa Tripoli Ash-Sham kwa mnasaba wa ujio wa siku kumi za mwanzo za Dhu al-Hijjah mwaka wa 1445 H – 2024 H na Idd ul-Adha Iliyobarikiwa.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa matembezi ya Takbira, Tahlil na Tahmid 1445 H katika mji wa Deir Hassan kwa mnasaba wa ujio wa siku kumi za mwanzo za Dhu al-Hijjah mwaka wa 1445 H – 2024 H na Idd ul-Adha Iliyobarikiwa.