Pakistan kwa Mara Nyengine Tena Inatekeleza Mradi wa Marekani dhidi ya Afghanistan
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mashambulizi ya droni za jeshi la Pakistan katika majimbo ya Khost na Nangarhar nchini Afghanistan yamesababisha vifo vya watoto watatu kutoka kwa familia moja na kujeruhi wengine watano, wakiwemo wanawake na watoto.



