Hizb ut Tahrir/ Wilaya ya Sudan: Maandamano Dhidi ya Ziara ya Waziri wa Kigeni Nchini Sudan.
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir/ Wilaya ya Sudan: Maandamano Dhidi ya Ziara ya Waziri wa Kigeni Nchini Sudan.
Hizb ut Tahrir/ Wilaya ya Sudan: Maandamano Dhidi ya Ziara ya Waziri wa Kigeni Nchini Sudan.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ilianzisha kampeni pana ya kufichua uhalifu wa marekebisho katika bajeti ya mwaka 2020 na hilo ni kupitia amali za umma kadha wa kadha zilizofanywa iliyopita;
Afisi Kuu ya Habari: Kampeni ya Kitengo cha Wanawake "Komesha Vitisho kwa Wanawake WachaMungu wa Kiislamu wa Kyrgyzstan!"
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan iliandaa hotuba ya halaiki katika jimbo la Qadarif (Gedarif) mnamo 14/08/2020 kwa anwani:
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan iligawanya toleo la mapambano katika miji mingi ya Sudan kwa anwani "Marekebisho ya Bajeti Mwaka 2020 ni Kuendeleza Uharibifu katika uchumi wa Sudan kwa Kuutii Mfuko wa Fedha wa Kimataifa"
Wilayah ya Syria: Kampeni "HAPANA kwa Uhalifu wa Suluhisho la Kisiasa; NDIO Kuangushwa kwa Serikali na Kusimamishwa Khilafah!"
Hizb ut Tahrir / Wilaya Sudan ilifanya mkao wake wa kila mara, mkao wa kadhia za Ummah, siku ya Jumamosi 4 Dhu al-Hijjah 1441 H sawia na 25/7/2020 M, na ambao ulikuwa kwa anwani:
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ilifanya Mkao wake wa Kadhia za Ummah kwa anwani: Marekebisho ya Sheria ya Hivi Majuzi... Mtazamo Angavu Uliojengwa kwa Msingi wa Uislamu.
Baada ya uunganishaji kwa nguvu wa India wa Kashmir mnamo Alhamisi, 19 Agosti 2019 M, Waislamu Kashmir wanakabiliwa na ukandamizwaji wa kikatili kutoka kwa dola ya kibaniani.
Kufuatia mkutano wa waandishi habari wa wawakilishi wa familia tatu za mahabusu: Omar Salum Bumbo, Ramadhan Moshi Kakoso, na Waziri Suleiman Mkaliaganda mnamo 09 Julai 2020 huko Magomeni Makuti, Dar es Salaam,