Alhamisi, 10 Muharram 1448 | 2026/06/25
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Njaa: Silaha Halisi ya Ubepari Mbali na Usanii wa Kipuuzi wa Misaada ya Kibinadamu ya Marekani

Samantha Power, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID), alitoa taarifa akionyesha kuzorota kwa hali ya kibinadamu katika kambi ya IDP ya Zamzam nchini Sudan. Alibainisha kuwa matumaini yametoweka, nafasi yake kuchukuliwa na hofu, kwani wataalamu kutoka mfumo wa Uainishaji wa Awamu ya Usalama wa Chakula ulithibitisha kuwa njaa imeendelea kambini humo kwa zaidi ya mwezi mmoja.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Ukombozi: "Majeshi ya Afrika Kaskazini lazima yarejeshe jukumu lao katika kuikomboa Palestina"

Matembezi ya 44 mfululizo yalifanyika tangu kuanza kwa Vita vya Kimbunga cha Al-Aqsa, yakianzia mbele ya Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu wa Tunis, hadi barabara ya Al-Thawra, ambayo yaliitishwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia kwa watu wa Al-Zaytouna, na kichwa chake kilikuwa “Majeshi ya Afrika Kaskazini lazima yajiandae dori yao katika kuikomboa Palestina”.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu