Hizb ut Tahrir / Malaysia Yazindua Kampeni "Uislamu Kaffah Chini ya Khilafah"
- Imepeperushwa katika Malaysia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kuanguka kwa Khilafah Kwahitaji Kazi ya Kurudi Kwake.
Tuko katika umasikini licha rasilimali zetu nyingi.
Waislamu wa Kashmir inayokaliwa kimabavu hawahitaji taarifa rasmi za kawaida za mnamo tarehe 5 Februari 2022, Siku ya Kashmir.
Katika wiki za hivi karibuni, kumekuwa na ghadhabu iliyoonyeshwa kwenye programu iliyoundwa na Mabaniani wenye misimamo mikali nchini India ambayo iliwaweka zaidi ya wanawake mia moja wa Kiislamu "katika mauzo" katika "mnada" ghushi.
Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) liliripoti moto mkali katika kituo cha matibabu cha COVID-19 katika kambi ya Cox's Bazar nchini Bangladesh, ambayo huhifadhi wakimbizi wanaokimbia kutoka Myanmar, mnamo Jumapili alasiri, 9/1/2022.
Watoto watatu walifariki katika kambi za wakimbizi kufuatia dhoruba kali za msimu wa baridi nchini Syria na nchi jirani.