Jumamosi, 22 Dhu al-Qi'dah 1447 | 2026/05/09
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Mubarak Abdul Hameed

Kwa kujisalimisha kikamilifu kwa Qadhaa na Qadar ya Mwenyezi Mungu (swt), Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Sudan inamuomboleza mmoja wa wanachama wake, ambaye alitumia ujana wake kubeba ulinganizi wa kurudisha tena maisha kamili ya Kiislamu, kwa kusimamisha Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume, aliye samehewa kwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu (swt):

Soma zaidi...

Falsafa ya Kiislamu

Katika Kitabu cha Mafahim ya Hizb ut Tahrir uk.35 (nakala ya Kiarabu) (uk 29-30 nakala ya Kiingereza), mstari wa 7 na 9, kimetaja “Falsafa ya Kiislamu”, lakini kinachojulikana kwetu katika chama ni kwamba hakuna wanafalsafa wala falsafa katika Uislamu.

Soma zaidi...

Afisi Kuu ya Habari: Angazo la Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kumbukumbu ya Kuvunjwa kwa Dola ya Khilafah 1443 H – 2022 M

Katika mwezi wa Rajab al-Muharram mwaka huu 1443 H - 2022 M, na kwa mnasaba wa kumbukumbu chungu ya wahalifu kuiondoa dola ya Kiislamu na kukomesha nidhamu ya utawala wa Kiislamu (Khilafah) mnamo tarehe 28 Rajab al-Muharram 1342 H sawia na 03/03/1924 M, Hizb ut Tahrir inaandaa amali pana za umma katika nchi zote inamofanyia kazi

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu